Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia jihadi
Luka 19 : 27
27 Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.
Ufunuo 22 : 19
19 Na mtu yeyote akiondoa lolote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
Ufunuo 22 : 18
18 Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu yeyote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
Leave a Reply