Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia jicho
Mathayo 5 : 27 – 28
27 ⑮ Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;
28 ⑯ lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
Yohana 14 : 15
15 ⑬ Mkinipenda, mtazishika amri zangu.
Leave a Reply