Biblia inasema nini kuhusu Jembe – Mistari yote ya Biblia kuhusu Jembe

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Jembe

1 Samweli 13 : 20
20 lakini Waisraeli wote hushuka kwa Wafilisti, ili kunoa kila mtu jembe lake, na mundu wake, na shoka lake, na sululu yake;

1 Wafalme 19 : 19
19 Basi, akaondoka huko, akamkuta Elisha mwana wa Shafati, aliyekuwa akilima, mwenye jozi za ng’ombe kumi na mbili mbele yake, na yeye mwenyewe alikuwa pamoja na lile la kumi na mbili. Eliya akapita karibu naye, akatupa vazi lake juu yake.

Ayubu 1 : 14
14 mjumbe akamfikia Ayubu na kumwambia, Hao ng’ombe walikuwa wakilima, na punda walikuwa wakila karibu nao;

Zaburi 129 : 3
3 ① Wakulima wamelima mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu mifuo yao.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *