Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Jason
Matendo 17 : 7
7 ⑦ na Yasoni amewakaribisha; na hawa wote wanatenda mambo yaliyo kinyume cha amri za Kaisari, wakisema na kusema yupo mfalme mwingine, aitwaye Yesu.
Matendo 17 : 9
9 Nao walipokwisha kumtoza dhamana Yasoni na wenziwe wakawaacha waende zao.
Warumi 16 : 21
21 ⑭ Timotheo, mtenda kazi pamoja nami, awasalimu, na Lukio, na Yasoni, na Sosipatro, jamaa zangu.
Leave a Reply