Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia jasiri
1 Wathesalonike 5 : 21
21 jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;
Zaburi 112 : 7
7 Hataogopa habari mbaya; Moyo wake u imara ukimtumainia BWANA.
Waefeso 6 : 12
12 ⑧ Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Leave a Reply