Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Jaalam
Mwanzo 36 : 5
5 Oholibama alizaa Yeushi, na Yalamu, na Kora. Hao ndio wana wa Esau aliozaliwa katika nchi ya Kanaani.
Mwanzo 36 : 14
14 Na hawa ni wana wa Oholibama, binti Ana, binti Sibeoni, mkewe Esau; akamzalia Esau, Yeushi, na Yalamu, na Kora.
Mwanzo 36 : 18
18 Na hawa ni wana wa Oholibama, mkewe Esau; jumbe Yeushi, jumbe Yalamu, jumbe Kora. Hao ndio majumbe waliotoka kwa Oholibama, binti Ana, mkewe Esau.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 35
35 Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.
Leave a Reply