Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Izhar
Kutoka 6 : 18
18 Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na mitatu.
Kutoka 6 : 21
21 Na wana wa Ishari; ni Kora, na Nefegi, na Zikri.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 2
2 Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 18
18 Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 38
38 mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.
1 Mambo ya Nyakati 23 : 12
12 Wana wa Kohathi; Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli, watu wanne.
1 Mambo ya Nyakati 23 : 18
18 Wana wa Ishari; Shelomithi mkuu wao.
Leave a Reply