Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ishmaeli
Mwanzo 16 : 11
11 ② Malaika wa BWANA akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana BWANA amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16 : 16
16 Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka themanini na sita, hapo Hajiri alipomzalia Abramu Ishmaeli.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 28
28 Wana wa Abrahamu; Isaka, na Ishmaeli.
Mwanzo 17 : 18
18 Abrahamu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.
Mwanzo 17 : 20
20 Kuhusu Ishmaeli nimekusikia, nimembariki na nitamzidisha na kumwongeza sana. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, na atakuwa na taifa kuu.
Mwanzo 17 : 26
26 Siku ile ile akatahiriwa Abrahamu na Ishmaeli mwanawe.
Mwanzo 16 : 12
12 ③ Naye atakuwa kama punda mwitu kati ya watu, mkono wake utapingana na watu wote na mkono wa kila mtu ukipingana naye; na ataishi kwa ugomvi na jamaa yake yote.
Mwanzo 17 : 20
20 Kuhusu Ishmaeli nimekusikia, nimembariki na nitamzidisha na kumwongeza sana. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, na atakuwa na taifa kuu.
Mwanzo 21 : 13
13 ⑧ Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.
Mwanzo 21 : 18
18 ⑭ Ondoka, ukamwinue kijana, ukamshike mkononi mwako, kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.
Mwanzo 21 : 21
21 ⑰ Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.
Mwanzo 25 : 9
9 ⑮ Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango ya Makpela, katika shamba la Efroni mwana wa Sohari Mhiti, lielekealo Mamre.
Mwanzo 25 : 18
18 Wakakaa toka Havila mpaka Shuri, unaoelekea Misri, kwa njia ya kwenda Ashuru. Akakaa katikati ya ndugu zake wote.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 31
31 na Yeturi, na, Nafishi, na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Mwanzo 28 : 9
9 ⑥ Basi Esau akaenda kwa Ishmaeli akamtwaa Mahalathi, binti Ishmaeli mwana wa Abrahamu, ndugu wa Nebayothi, kuwa mkewe pamoja na wakeze aliokuwa nao.
Mwanzo 36 : 3
3 na Basemathi, binti Ishmaeli, nduguye Nebayothi.
Mwanzo 25 : 18
18 Wakakaa toka Havila mpaka Shuri, unaoelekea Misri, kwa njia ya kwenda Ashuru. Akakaa katikati ya ndugu zake wote.
2 Mambo ya Nyakati 19 : 11
11 Tena angalieni, Amaria, kuhani mkuu, yuko juu yenu kwa maneno yote ya BWANA; naye Zebadia, mwana wa Ishmaeli, jemadari wa nyumba ya Yuda, kwa mambo yote ya mfalme; Walawi nao watakuwa wasimamizi mbele yenu. Jitieni nguvu, mtende, naye BWANA awe pamoja nao walio wema.
Leave a Reply