Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ishia
1 Mambo ya Nyakati 7 : 3
3 Na wana wa Uzi; Izrahia; na wana wa Izrahia; Mikaeli, na Obadia, na Yoeli, na Ishia, watano; wote wakuu.
1 Mambo ya Nyakati 24 : 21
21 Wa Rehabia; wa wana wa Rehabia, Ishia mkuu wao.
1 Mambo ya Nyakati 24 : 25
25 Nduguye Mika, Ishia; wa wana wa Ishia, Zekaria.
Leave a Reply