Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Imnah
1 Mambo ya Nyakati 7 : 30
30 ⑩ Wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na dada yao, Sera.
2 Mambo ya Nyakati 31 : 14
14 Na Kore, mwana wa Imna, Mlawi, bawabu wa mlango wa mashariki, alizisimamia sadaka za hiari za Mungu; ili kugawa matoleo ya BWANA, na vitu vilivyokuwa vitakatifu sana.
Leave a Reply