Biblia inasema nini kuhusu Hoshaya – Mistari yote ya Biblia kuhusu Hoshaya

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Hoshaya

Nehemia 12 : 32
32 na baada yao wakaenda Hoshaya, na nusu ya wakuu wa Yuda,

Yeremia 42 : 1
1 ⑥ Ndipo makamanda, wote wa majeshi, na Yohana, mwana wa Karea, na Yezania, mwana wa Hoshaya, na watu wote tangu wadogo hata wakubwa, wakakaribia,

Yeremia 43 : 2
2 ndipo Azaria, mwana wa Hoshaya, na Yohana mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakanena, wakimwambia Yeremia, Unasema uongo; BWANA, Mungu wetu, hakukutuma useme, Msiende Misri kukaa huko;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *