Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Hosana
Mathayo 21 : 9
9 ⑩ Na makutano waliotangulia, na wale waliofuata, wakapaza sauti, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi; ndiye mbarikiwa, yeye ajaye kwa jina la Bwana; Hosana juu mbinguni.
Mathayo 21 : 15
15 ⑭ Lakini wakuu wa makuhani na waandishi walipoyaona maajabu aliyoyafanya, na watoto waliopaza sauti zao hekaluni, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi! Walikasirika,
Marko 11 : 10
10 umebarikiwa na ufalme ujao, wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni.
Yohana 12 : 13
13 wakatwaa matawi ya mitende, wakatoka nje kwenda kumlaki, wakapiga makelele, Hosana! Ndiye mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme wa Israeli!
Leave a Reply