Biblia inasema nini kuhusu Horini – Mistari yote ya Biblia kuhusu Horini

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Horini

Luka 2 : 7
7 ⑲ akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Luka 2 : 12
12 Na hii ndiyo ishara kwenu; mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelala katika hori ya kulia ng’ombe.

Luka 2 : 16
16 Wakaenda kwa haraka wakamkuta Mariamu na Yusufu, na yule mtoto mchanga amelala horini.

Luka 13 : 15
15 Lakini Bwana akajibu akasema, Enyi wanafiki, kila mmoja wenu, je! Hamfungui ng’ombe wake au punda wake siku ya sabato katika zizi, aende naye kumnywesha?

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *