Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Hesroni
Mwanzo 46 : 12
12 Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.
Hesabu 26 : 6
6 na wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; na wa Karmi, jamaa ya Wakarmi.
Hesabu 26 : 21
21 Na wana wa Peresi walikuwa; wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; wa Hamuli, jamaa ya Wahamuli.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 5
5 ⑤ Wana wa Peresi; Hesroni, na Hamuli.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 9
9 ⑧ Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 18
18 Basi Kalebu, mwana wa Hesroni, akazaliwa wana na mkewe Azuba, na Yeriothi, na hawa ndio wanawe wa kiume; Yesheri, na Shobabu, na Ardoni.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 21
21 ⑯ Na baadaye Hesroni akamwingilia binti wa Makiri, babaye Gileadi; ambaye alimtwaa alipokuwa na umri wa miaka sitini; naye akamzalia Segubu.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 24
24 ⑱ Tena, baada ya kufa kwake Hesroni huko Kalebu-Efrata, ndipo Abia, mkewe Hesroni, alipomzalia Ashuri, babaye Teboa.
Mwanzo 46 : 9
9 Na wana wa Reubeni; Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi.
Kutoka 6 : 14
14 Hawa ndio vichwa vya nyumba za baba zao: wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; ni Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi; hao ni jamaa za Reubeni.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 1
1 Wana wa Yuda; Peresi, na Hesroni, na Karmi, na Huri, na Shobali.
1 Mambo ya Nyakati 5 : 3
3 wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi.
Hesabu 26 : 6
6 na wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; na wa Karmi, jamaa ya Wakarmi.
Leave a Reply