Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Hepher
Hesabu 26 : 33
33 ④ Na Selofehadi mwana wa Heferi hakuwa na watoto wa kiume, isipokuwa wa kike; na majina ya hao binti za Selofehadi ni haya, Mala, na Nuhu, na Hogla, na Milka, na Tirza.
Hesabu 27 : 1
1 Wakati huo wakakaribia hao binti za Selofehadi, mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, wa jamaa za Manase mwana wa Yusufu; na majina ya hao binti za Selofehadi ni haya; Mala, na Nuhu, na Hogla, na Milka, na Tirza.
Yoshua 17 : 3
3 Lakini Selofehadi, mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, hakuwa na wana wa kiume ila binti; na majina ya hao binti zake walikuwa wakiitwa Mala, Nuhu, Hogla, Milka na Tirza.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 6
6 Naye Naara akamzalia Ahuzamu, na Heferi, na Temeni, na Ahashtari. Hao ndio wana wa Naara.
1 Mambo ya Nyakati 11 : 36
36 Mmaakathi, Ahia Mpeloni;
Yoshua 12 : 17
17 mfalme wa Tapua, mmoja; na mfalme wa Heferi, mmoja;
1 Wafalme 4 : 10
10 Mwana wa Hesedi, katika Arubothi; na Soko ilikuwa kwake na nchi yote ya Heferi.
Leave a Reply