Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Helon
Hesabu 1 : 9
9 Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.
Hesabu 2 : 7
7 ① na kabila la Zabuloni; na mkuu wa wana wa Zabuloni atakuwa Eliabu mwana wa Heloni;
Hesabu 7 : 24
24 Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, mkuu wa wana wa Zabuloni;
Hesabu 7 : 29
29 tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng’ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Eliabu mwana wa Heloni.
Hesabu 10 : 16
16 Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.
Leave a Reply