Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Heldai
1 Mambo ya Nyakati 27 : 15
15 Kamanda wa kumi na mbili wa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heledi, Mnetofathi, wa Othnieli; na katika zamu yake walikuwa watu elfu ishirini na nne.
1 Mambo ya Nyakati 11 : 30
30 Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;
2 Samweli 23 : 29
29 na Heledi, mwana wa Baana, Mnetofathi, na Itai, mwana wa Ribai, wa Gibea wa wana wa Benyamini;
Zekaria 6 : 10
10 Pokea vitu mikononi mwa baadhi ya watu waliohamishwa, yaani, Heldai, na Tobia, na Yedaya; na siku iyo hiyo nenda ukaingie katika nyumba ya Yosia, mwana wa Sefania, waliyoifikia kutoka Babeli;
Leave a Reply