Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Hattush
1 Mambo ya Nyakati 3 : 22
22 Na wana wa Shekania ni hawa; Shemaya, na wana wa Shemaya; Hatushi, na Igali, na Baria, na Nearia, na Shafati, watu sita.
Ezra 8 : 2
2 Wa uzao wa Finehasi, Gershomu; wa wana wa Ithamari, Danieli; wa wana wa Daudi, Hatushi, mwana wa Shekania;
Nehemia 3 : 10
10 Na baada yao akajenga Yedaya, mwana wa Harumafu, kuielekea nyumba yake. Na baada yake akajenga Hatushi, mwana wa Hashabneya.
Nehemia 10 : 4
4 Hamshi, Shekania, Maluki;
Nehemia 12 : 2
2 Amaria, Maluki, Hatushi;
Nehemia 12 : 2
2 Amaria, Maluki, Hatushi;
Leave a Reply