Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Harrow
2 Samweli 12 : 31
31 Naye akawatoa watu waliokuwamo, akawaweka kwenye kazi ya[10] misumeno, na sululu za chuma, na mashoka ya chuma, akawafanyiza kazi tanurini mwa matofali; ndivyo alivyoifanya miji yote ya wana wa Amoni. Kisha Daudi akarudi na watu wote Yerusalemu.
1 Mambo ya Nyakati 20 : 3
3 Na hao watu waliokuwamo akawatoa, akawawafanyisha kazi kwa misumeno, na kwa sululu za chuma, na kwa mashoka. Ndivyo alivyofanya Daudi kwa miji yote ya wana wa Amoni. Nao wakarudi Yerusalemu Daudi na watu wote.
Leave a Reply