Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Harim
1 Mambo ya Nyakati 24 : 8
8 ya tatu Harimu, ya nne Seorimu;
Ezra 2 : 32
32 Watu wa Harimu, mia tatu na ishirini.
Ezra 2 : 39
39 Wazawa wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.
Ezra 10 : 31
31 ⑲ Na wa wazawa wa Harimu; Eliezeri, na Ishiya, na Malkiya, na Shemaya, na Shimeoni,
Nehemia 7 : 35
35 Wana wa Harimu, mia tatu na ishirini.
Nehemia 7 : 42
42 Wana wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.
Nehemia 10 : 5
5 Harimu, Meremothi, Obadia;
Nehemia 10 : 27
27 Maluki, Harimu, na Baana.
Nehemia 12 : 15
15 wa Harimu, Adna; wa Meremothi, Helkai;
Leave a Reply