Biblia inasema nini kuhusu Gerah – Mistari yote ya Biblia kuhusu Gerah

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Gerah

Kutoka 30 : 13
13 Nacho watakachotoa ni hiki, kila mtu apitaye kwa wale waliohesabiwa atatoa nusu shekeli kwa kuiandama shekeli ya mahali patakatifu; (shekeli ni gera ishirini;) nusu shekeli kwa sadaka ya BWANA.

Mambo ya Walawi 27 : 25
25 Na hesabu zako zote zitaandamana shekeli ya mahali patakatifu; gera ishirini zitakuwa shekeli moja.

Hesabu 3 : 47
47 utatwaa shekeli tano kwa kichwa cha kila mtu kwa hiyo shekeli ya mahali patakatifu (shekeli ni gera ishirini);

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *