Biblia inasema nini kuhusu Gedori – Mistari yote ya Biblia kuhusu Gedori

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Gedori

Yoshua 15 : 58
58 Halhuli, Beth-suri, Gedori;

1 Mambo ya Nyakati 8 : 31
31 ⑱ na Gedori, na Ahio, na Zekaria,[6]

1 Mambo ya Nyakati 9 : 37
37 na Gedori, na Ahio, na Zekaria, na Miklothi.

1 Mambo ya Nyakati 4 : 4
4 na Penueli, babaye Gedori, na Ezeri, babaye Husha. Hao ndio wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrata, babaye Bethlehemu.

1 Mambo ya Nyakati 4 : 18
18 Na mkewe Myahudi akawazaa Yeredi, babaye Gedori, na Heberi, babaye Soko, na Yekuthieli, babaye Zanoa. Na hawa ndio wana wa Bithia, binti Farao, ambaye Meredi alimwoa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *