Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Gebal
Yoshua 13 : 5
5 na nchi ya Wagebali na Lebanoni yote, upande wa mashariki ya jua, kutoka Baal-gadi ulio chini ya mlima wa Hermoni mpaka kufikia maingilio ya Hamathi;
1 Wafalme 5 : 18
18 Na waashi wa Sulemani na waashi wa Hiramu na Wagebali wakayachonga, wakaweka tayari miti na mawe ya kuijenga nyumba.
Ezekieli 27 : 9
9 Wazee wa Gebali na wenye akili wake walikuwa ndani yako, wenye kutia kalafati; merikebu zote za bahari na mabaharia wao walikuwa ndani yako, ili kubadiliana biashara yako.
Zaburi 83 : 7
7 Gebali, na Amoni, na Amaleki, Na Filisti, nao wanaokaa Tiro,
Leave a Reply