Biblia inasema nini kuhusu Gayo – Mistari yote ya Biblia kuhusu Gayo

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Gayo

Matendo 19 : 29
29 ⑦ Mji wote ukajaa ghasia, wakaenda mbio wakaingia ukumbi wa michezo kwa pamoja, wakiisha kuwakamata Gayo na Aristarko, watu wa Makedonia waliosafiri pamoja na Paulo.

Matendo 20 : 4
4 ⑧ Watu hawa wakafuatana naye, Sopatro Mberea, mwana wa Piro, na Aristarko na Sekundo, watu wa Thesalonike; na Gayo mtu wa Derbe, na Timotheo; na Tikiko na Trofimo watu wa Asia.

Warumi 16 : 23
23 ⑮ Gayo, mwenyeji wangu, na wa kanisa lote pia, awasalimu. Erasto, wakili wa mji, na Kwarto, ndugu yetu, wanawasalimu. [

1 Wakorintho 1 : 14
14 Nashukuru, kwa sababu sikumbatiza mtu kwenu, ila Krispo na Gayo;

3 Yohana 1 : 14
14 Lakini natarajia kukuona karibuni, nasi tutasema uso kwa uso.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *