Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Gatamu
Mwanzo 36 : 11
11 Na wana wa Elifazi, ni Temani na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi.
Mwanzo 36 : 16
16 jumbe Kora, jumbe Gatamu, jumbe Amaleki. Hao ndio majumbe, waliotoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Hao ni wana wa Ada.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 36
36 Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki.
Leave a Reply