Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia En-Dor
Yoshua 17 : 11
11 Tena Manase alikuwa na miji katika Isakari na katika Asheri, nayo ni hii, Beth-sheani na vijiji vyake, Ibleamu na miji yake, wenyeji wa Dori na miji yake, wenyeji wa Endori na miji yake, wenyeji wa Taanaki na miji yake, wenyeji wa Megido na miji yake, na pia theluthi ya Nafathi.
1 Samweli 28 : 25
25 kisha akamwandalia Sauli na watumishi wake; wakala. Ndipo wakaondoka, wakaenda zao usiku ule.
Zaburi 83 : 10
10 Ambao waliangamizwa Endori; Wakawa samadi juu ya nchi.
Leave a Reply