Biblia inasema nini kuhusu Elon – Mistari yote ya Biblia kuhusu Elon

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Elon

Mwanzo 26 : 34
34 ⑬ Esau alipokuwa mwenye miaka arubaini, akamwoa Yudithi, binti Beeri, Mhiti, na Basemathi, binti Eloni, Mhiti.

Mwanzo 36 : 2
2 Esau alitwaa binti za Kanaani, kuwa wakeze; Ada, binti Eloni, Mhiti, na Oholibama, binti Ana, binti Sibeoni, Mhivi;

Mwanzo 46 : 14
14 Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.

Hesabu 26 : 26
26 Na wana wa Zabuloni kwa jamaa zao; wa Seredi, jamaa ya Waseredi; wa Eloni, jamaa ya Waeloni; wa Yaleeli, jamaa ya Wayaleeli.

Yoshua 19 : 43
43 Eloni, Timna, Ekroni;

Waamuzi 12 : 12
12 Huyo Eloni, Mzabuloni, akafa, akazikwa katika Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *