Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Elon
Mwanzo 26 : 34
34 ⑬ Esau alipokuwa mwenye miaka arubaini, akamwoa Yudithi, binti Beeri, Mhiti, na Basemathi, binti Eloni, Mhiti.
Mwanzo 36 : 2
2 Esau alitwaa binti za Kanaani, kuwa wakeze; Ada, binti Eloni, Mhiti, na Oholibama, binti Ana, binti Sibeoni, Mhivi;
Mwanzo 46 : 14
14 Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.
Hesabu 26 : 26
26 Na wana wa Zabuloni kwa jamaa zao; wa Seredi, jamaa ya Waseredi; wa Eloni, jamaa ya Waeloni; wa Yaleeli, jamaa ya Wayaleeli.
Yoshua 19 : 43
43 Eloni, Timna, Ekroni;
Waamuzi 12 : 12
12 Huyo Eloni, Mzabuloni, akafa, akazikwa katika Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.
Leave a Reply