Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Elihu
1 Samweli 1 : 1
1 Palikuwa na mtu mmoja wa Rama, Msufi, wa nchi ya milima milima ya Efraimu, jina lake akiitwa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu
1 Mambo ya Nyakati 6 : 34
34 mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu;
1 Mambo ya Nyakati 6 : 27
27 na mwanawe huyo ni Elihu, na mwanawe huyo ni Yerohamu, na mwanawe huyo ni Elkana.
1 Mambo ya Nyakati 12 : 20
20 Naye alipokuwa akienda Siklagi, Manase hawa wakamwangukia, Adna, na Yozabadi, na Yediaeli, na Mikaeli, na Yozabadi, na Elihu, na Silethai, makamanda wa maelfu waliokuwa wa Manase.
1 Mambo ya Nyakati 26 : 7
7 Wana wa Shemaya; Othni, na Refaeli, na Obedi, na Elzabadi, nduguze walikuwa mashujaa, Elihu, na Semakia.
1 Mambo ya Nyakati 27 : 18
18 wa Yuda, Elihu, mmojawapo wa nduguze Daudi; wa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli;
1 Samweli 16 : 6
6 Ikawa walipokuja, alimtazama Eliabu, akasema, Yakini masihi[19] wa BWANA yupo hapa mbele zake.
Leave a Reply