Biblia inasema nini kuhusu Eberi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Eberi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Eberi

Mwanzo 10 : 25
25 ⑯ Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza ni Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye ni Yoktani.

Mwanzo 11 : 14
14 Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 19
19 Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 25
25 na Eberi, na Pelegi, na Reu;

Luka 3 : 35
35 wa Serugi, wa Regau, wa Pelegi, wa Eberi, wa Sala,

Hesabu 24 : 24
24 Lakini merikebu zitakuja kutoka pwani kwa Kitimu, Nazo zitamtaabisha Ashuru, na Eberi zitamtaabisha, Yeye naye atapata uharibifu.

1 Mambo ya Nyakati 5 : 13
13 na ndugu zao wa koo za baba zao; Mikaeli, na Meshulamu, na Sheba, na Yorai, na Yakani, na Zia, na Eberi, watu saba.

1 Mambo ya Nyakati 8 : 12
12 ⑮ Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;

1 Mambo ya Nyakati 8 : 22
22 Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;

Nehemia 12 : 20
20 wa Salu, Kalai; wa Amoki, Eberi;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *