Biblia inasema nini kuhusu Dishon – Mistari yote ya Biblia kuhusu Dishon

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Dishon

Mwanzo 36 : 21
21 na Dishoni, na Eseri, na Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.

Mwanzo 36 : 30
30 jumbe Dishoni, jumbe Eseri jumbe Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, kwa habari za majumbe yao, katika nchi ya Seiri.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 38
38 Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.

Mwanzo 36 : 25
25 Na hawa ni wana wa Ana, Dishoni, na Oholibama, binti Ana.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 41
41 Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *