Biblia inasema nini kuhusu Dini – Mistari yote ya Biblia kuhusu Dini

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Dini

Kutoka 30 : 16
16 Nawe utapokea hizo fedha za upatanisho mikononi mwa hao wana wa Israeli, na kuziweka kwa ajili ya utumishi wa hema ya kukutania; ili kwamba ziwe ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli mbele ya BWANA, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zenu.

Kutoka 38 : 26
26 ② kichwa beka, maana, nusu shekeli, kwa kadiri ya shekeli ya mahali patakatifu, kwa ajili ya kila mtu aliyepita kwa wale waliohesabiwa, aliyekuwa wa umri wa miaka ishirini au zaidi, kwa ajili ya wanaume elfu mia sita na tatu mia tano na hamsini (603,550).

1 Wafalme 18 : 19
19 Basi sasa upeleke watu, unikusanyie jamii ya Israeli katika mlima wa Karmeli, na wale manabii wa Baali mia nne na hamsini, na wale manabii wa Ashera mia nne, walao chakula mezani pa Yezebeli.

2 Mambo ya Nyakati 11 : 15
15 naye akajiwekea makuhani wa mahali pa juu, na wa wale majini, na wa zile ndama alizozitengeneza.

1 Wafalme 12 : 33
33 ⑦ Akatoa dhabihu juu ya ile madhabahu aliyoifanya katika Betheli, siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, mwezi aliouwaza moyoni mwake mwenyewe; akawaamuru wana wa Israeli waishike sikukuu hiyo, akapanda kuiendea madhabahu, ili kufukiza uvumba.

2 Mambo ya Nyakati 11 : 15
15 naye akajiwekea makuhani wa mahali pa juu, na wa wale majini, na wa zile ndama alizozitengeneza.

1 Wafalme 12 : 33
33 ⑦ Akatoa dhabihu juu ya ile madhabahu aliyoifanya katika Betheli, siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, mwezi aliouwaza moyoni mwake mwenyewe; akawaamuru wana wa Israeli waishike sikukuu hiyo, akapanda kuiendea madhabahu, ili kufukiza uvumba.

Ayubu 12 : 16
16 Kwake yeye ziko nguvu, na hekima; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.

Ayubu 35 : 12
12 Hulia huko, lakini hapana ajibuye, Kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.

Ayubu 37 : 24
24 Kwa hiyo watu humwogopa; Yeye hawaangalii walio na hekima mioyoni.

Zaburi 8 : 9
9 ⑳ Wewe, MUNGU, Bwana wetu, Jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani kote!

Zaburi 19 : 6
6 Kuchomoza kwake ni katika mwisho wa mbingu, Na kuzunguka kwake ni hadi miisho ya mbingu, Wala hakuna kitu Kisichofikiwa na joto lake.

Matendo 14 : 17
17 ⑦ Lakini hakujiacha pasipo ushuhuda, kwa kuwa alitenda mema, akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwashibisha mioyo yenu chakula na furaha.

Matendo 17 : 28
28 ⑰ Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi alivyosema, Maana sisi sote tu wazawa wake.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *