Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Deueli
Hesabu 1 : 14
14 Wa Gadi; Eliasafu mwana wa Deueli.
Hesabu 2 : 14
14 na kabila la Gadi; na mkuu wa wana wa Gadi atakuwa Eliasafu mwana wa Deueli;
Hesabu 7 : 42
42 Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, mkuu wa wana wa Gadi
Hesabu 10 : 20
20 Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.
Leave a Reply