Biblia inasema nini kuhusu Delila – Mistari yote ya Biblia kuhusu Delila

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Delila

Waamuzi 16 : 18
18 Delila alipoona ya kuwa amemwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akatuma mtu akawaita wakuu wa Wafilisti, akisema, Njoni huku mara hii tu, maana ameniambia siri yake yote. Ndipo wakuu wa Wafilisti wakamwendea wakachukua ile fedha mikononi mwao.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *