Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Delaya
1 Mambo ya Nyakati 24 : 18
18 ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
Yeremia 36 : 12
12 akashuka, akaingia katika nyumba ya mfalme, katika chumba cha mwandishi, na, tazama, wakuu wote wameketi humo, nao ni hawa, Elishama, mwandishi, na Delaya, mwana wa Shemaya, na Elnathani, mwana wa Akbori, na Gemaria, mwana wa Shafani, na Sedekia, mwana wa Hanania, na wakuu wote.
Yeremia 36 : 25
25 Hata hivyo Elnathani, na Delaya, na Gemaria, walikuwa wamemsihi mfalme asiliteketeze gombo lile, lakini hakukubali kuwasikia.
Ezra 2 : 60
60 wazawa wa Delaya, wazawa wa Tobia na wazawa wa Nekoda, mia sita hamsini na wawili.
Nehemia 7 : 62
62 Wana wa Delaya, wana wa Tobia, wana wa Nekoda, mia sita na arubaini na wawili.
1 Mambo ya Nyakati 3 : 24
24 Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.
Leave a Reply