Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Datan
Hesabu 16 : 35
35 ⑩ Kisha moto ukatoka kwa BWANA, ukawateketeza hao watu mia mbili hamsini waliofukiza uvumba.
Hesabu 26 : 9
9 Na wana wa Eliabu; Nemueli, na Dathani, na Abiramu. Hawa ndio Dathani na Abiramu waliochaguliwa na mkutano, ambao walishindana na Musa na Haruni katika mkutano wa Kora, hapo waliposhindana na BWANA;
Kumbukumbu la Torati 11 : 6
6 ⑰ na alivyowafanya Dathani, na Abiramu, wana wa Eliabu mwana wa Reubeni; nchi ilivyofunua kinywa chake, ikawameza, na walio nyumbani mwao, na mahema yao, na kila kitu kilichokuwa hai kikiwafuata, katikati ya Israeli yote;
Zaburi 106 : 17
17 Nchi ikapasuka ikammeza Dathani, Ikaufunika mkutano wa Abiramu.
Leave a Reply