Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Crib
Ayubu 39 : 9
9 Je! Nyati atakubali kukutumikia? Au atakaa katika zizi lako?
Mithali 14 : 4
4 Zizi ni safi ambapo hapana ng’ombe; Bali nguvu za ng’ombe zaleta faida nyingi.
Isaya 1 : 3
3 Ng’ombe amjua bwana wake, Na punda ajua kibanda cha bwana wake; Bali Israeli hajui, watu wangu hawafikiri.
Leave a Reply