Biblia inasema nini kuhusu Chuma – Mistari yote ya Biblia kuhusu Chuma

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Chuma

2 Samweli 22 : 35
35 Ananifundisha mikono yangu vita; Hata mikono yangu inaupanda upinde wa shaba.

Ayubu 20 : 24
24 ⑰ Ataikimbia silaha ya chuma, Na uta wa shaba utamchoma.

Zaburi 18 : 34
34 Anaifundisha mikono yangu vita, Mikono yangu ikaupinda upinde wa shaba.

Yeremia 15 : 12
12 Je! Mtu aweza kuvunja chuma, naam, chuma kitokacho kaskazini, au shaba?

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *