Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Chuma
2 Samweli 22 : 35
35 Ananifundisha mikono yangu vita; Hata mikono yangu inaupanda upinde wa shaba.
Ayubu 20 : 24
24 ⑰ Ataikimbia silaha ya chuma, Na uta wa shaba utamchoma.
Zaburi 18 : 34
34 Anaifundisha mikono yangu vita, Mikono yangu ikaupinda upinde wa shaba.
Yeremia 15 : 12
12 Je! Mtu aweza kuvunja chuma, naam, chuma kitokacho kaskazini, au shaba?
Leave a Reply