Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Chezib
Mwanzo 38 : 5
5 Akaendelea, akazaa tena mwana mwingine, akamwita jina lake Shela. Naye Yuda alikuwa huko Kezibu, alipomzaa.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 22
22 na Yokimu, na watu wa Kozeba, na Yoashi, na Sarafi waliokuwa na mamlaka katika Moabu, na Yashubi-lehemu. (Na taarifa hizi ni za zamani sana).
Yoshua 15 : 44
44 Keila, Akizibu na Maresha; miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
Leave a Reply