Biblia inasema nini kuhusu Chelubai โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu Chelubai

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Chelubai

1 Mambo ya Nyakati 2 : 9
9 โ‘ง Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.

1 Mambo ya Nyakati 2 : 18
18 Basi Kalebu, mwana wa Hesroni, akazaliwa wana na mkewe Azuba, na Yeriothi, na hawa ndio wanawe wa kiume; Yesheri, na Shobabu, na Ardoni.

1 Mambo ya Nyakati 2 : 42
42 Na wana wa Kalebu, nduguye Yerameeli, walikuwa Mesha, mzaliwa wake wa kwanza, aliyekuwa babaye Zifu; na wana wa Maresha, babaye Hebroni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *