Biblia inasema nini kuhusu Chawa, Tauni ya – Mistari yote ya Biblia kuhusu Chawa, Tauni ya

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Chawa, Tauni ya

Kutoka 8 : 19
19 ⑳ Ndipo wale waganga wakamwambia Farao, Jambo hili ni kidole cha Mungu;[10] na moyo wake Farao ukawa mgumu asiwasikize; vile vile kama BWANA alivyonena.

Zaburi 105 : 31
31 ⑬ Alisema, kukaja makundi ya mainzi, Na chawa katika nchi yao yote.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *