Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bukki
1 Mambo ya Nyakati 6 : 5
5 na Abishua akamzaa Buki; na Buki akamzaa Uzi;
1 Mambo ya Nyakati 6 : 51
51 na mwanawe huyo ni Buki, na mwanawe huyo ni Uzi, na mwanawe huyo ni Serahia;
Ezra 7 : 4
4 mwana wa Zerahia, mwana wa Uzi, mwana wa Buki,
Hesabu 34 : 22
22 Na katika kabila la wana wa Dani, mkuu, Buki mwana wa Yogli.
Leave a Reply