Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Buibui
Mithali 30 : 28
28 Mjusi hushika kwa mikono yake; Lakini yumo majumbani mwa wafalme.
Ayubu 8 : 14
14 Uthabiti wake utavunjika, Na matumaini yake huwa ni utando wa buibui.
Isaya 59 : 5
5 ③ Huangua mayai ya fira, na kusuka wavu wa buibui; yeye alaye mayai yao hufa, na hilo livunjwalo hutoka nyoka.
Leave a Reply