Biblia inasema nini kuhusu Bohan – Mistari yote ya Biblia kuhusu Bohan

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bohan

Yoshua 15 : 6
6 na huo mpaka ukaendelea hadi Beth-hogla, kisha ukaendelea upande wa kaskazini wa Beth-araba; kisha mpaka ukaendelea hadi jiwe la Bohani mwana wa Reubeni;

Yoshua 18 : 17
17 kisha ulipinda upande wa kaskazini, nao ukatokea hapo Enshemeshi, ukatokea hadi kufikia Gelilothi, ambao ni mkabala wa makweleo ya Adumimu; kisha uliteremka hadi jiwe la Bohani mwana wa Reubeni;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *