Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bilha
Mwanzo 29 : 29
29 Labani akampa binti yake Raheli mjakazi wake Bilha, awe mjakazi wake.
Mwanzo 30 : 4
4 Basi akampa Bilha mjakazi wake kuwa mkewe. Yakobo akaingia kwake.
Mwanzo 37 : 2
2 Hivi ndivyo vizazi vya Yakobo. Yusufu, aliyekuwa mwenye miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo pamoja na ndugu zake; naye alikuwa kijana pamoja na wana wa Bilha, na wana wa Zilpa, wake wa baba yake. Yusufu akamletea baba yao habari zao mbaya.
Mwanzo 30 : 8
8 Raheli akasema, Kwa mashindano makuu nimeshindana na dada yangu, nikashinda. Akamwita jina lake Naftali.
Mwanzo 35 : 25
25 Wana wa Bilha, kijakazi wa Raheli, ni Dani na Naftali.
Mwanzo 46 : 25
25 Hao ndio wana wa Bilha, ambaye Labani alimpa Raheli, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao; wote walikuwa watu saba.
Mwanzo 35 : 22
22 Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.
Mwanzo 49 : 4
4 Umekuwa kama maji yavukavyo mpaka, basi nawe hutafana tena, Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako, Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 29
29 na huko Bilha, na Esemu, na Toladi;
Yoshua 19 : 3
3 Hasar-shuali, Bala, Esemu;
Yoshua 15 : 29
29 Baala, Iyimu, Esemu;
Leave a Reply