Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bia-Lahai-Roi
Mwanzo 16 : 14
14 Kwa hiyo kisima kile kiliitwa Beer-lahai-roi.[4] Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi.
Mwanzo 24 : 62
62 ⑥ Basi Isaka alikuwa amekuja kwa njia ya Beer-lahai-roi, maana alikaa katika nchi ya kusini.
Mwanzo 25 : 11
11 ⑰ Ikawa, baada ya kufa kwake Abrahamu, Mungu akambariki Isaka mwanawe. Naye Isaka akakaa karibu ya Beer-lahai-roi.
Leave a Reply