Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Beth-Haggan
2 Wafalme 9 : 27
27 Na Ahazia mfalme wa Yuda alipoona hayo, akakimbia kwa njia ya nyumba ya bustanini. Yehu akamfuatia, akasema, Mpigeni huyu naye katika gari lake; wakampiga hapo penye kupandia Guri, karibu na Ibleamu. Akakimbilia Megido, akafa huko.
Yoshua 19 : 21
21 ⑩ Remethi, Enganimu, Enhada, Bethpasesi;
Leave a Reply