Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bela
Mwanzo 14 : 2
2 ⑯ walifanya vita na Bera mfalme wa Sodoma na Birsha mfalme wa Gomora, na Shinabu mfalme wa Adma, na Shemeberi mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela, ndio Soari.
Mwanzo 14 : 8
8 Mfalme wa Sodoma, na mfalme wa Gomora, na mfalme wa Adma, na mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela, ndio Soari, wakatoka wakapanga vita panapo bonde la Sidimu;
Mwanzo 36 : 33
33 Akafa Bela, akamiliki Yobabu mwana wa Zera, wa Bosra, badala yake.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 44
44 Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akatawala badala yake.
Hesabu 26 : 38
38 ⑦ Na wana wa Benyamini kwa jamaa zao; wa Bela, jamaa ya Wabela; na wa Ashbeli, jamaa ya Waashbeli; wa Ahiramu, jamaa ya Waahiramu;
Hesabu 26 : 40
40 ⑩ Na wana wa Bela walikuwa Ardi na Naamani; wa Ardi, jamaa ya Waardi; wa Naamani, jamaa ya Wanaamani.
1 Mambo ya Nyakati 7 : 7
7 Na wana wa Bela; Esboni, na Uzi, na Uzieli, na Yerimothi, na Iri, watano; wakuu wa koo za baba zao, watu hodari wa vita; nao wakahesabiwa kwa vizazi vyao watu elfu ishirini na mbili na thelathini na wanne.
1 Mambo ya Nyakati 8 : 1
1 ⑫ Naye Benyamini akamzaa Bela, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Ashbeli, na wa tatu Ahiramu;
1 Mambo ya Nyakati 8 : 3
3 Na Bela alikuwa na wana; Adari, na Gera, na Abihudi;
Mwanzo 46 : 21
21 Na wana wa Benyamini; Bela, na Bekeri, na Ashbeli, na Gera, na Naamani, na Ehi, na Roshi, na Mupimu, na Hupimu, na Ardi.
1 Mambo ya Nyakati 5 : 8
8 ① na Bela, mwana wa Azazi, mwana wa Shemaya, mwana wa Yoeli, aliyekaa huko Aroeri, hadi Nebo na Baal-meoni;
Leave a Reply