Biblia inasema nini kuhusu Beesh-Tera – Mistari yote ya Biblia kuhusu Beesh-Tera

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Beesh-Tera

Yoshua 21 : 27
27 ① Tena wana wa Gershoni, katika jamaa za Walawi, waliwapa, katika hiyo nusu ya kabila la Manase, Golani katika Bashani pamoja na mbuga zake za malisho, huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji; na Beeshtera pamoja na mbuga zake za malisho; miji miwili.

1 Mambo ya Nyakati 6 : 71
71 Na wana wa Gershoni wakapewa, katika jamaa ya nusu kabila ya Manase; Golani katika Bashani pamoja na viunga vyake, na Ashtarothi pamoja na viunga vyake;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *