Biblia inasema nini kuhusu Bati – Mistari yote ya Biblia kuhusu Bati

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bati

Hesabu 31 : 22
22 lakini dhahabu, na fedha, na shaba, na chuma, na bati, na risasi,

Ezekieli 22 : 18
18 ⑦ Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa taka za fedha kwangu; wote wamekuwa shaba, na bati, na chuma, na risasi, katika tanuri; wamekuwa taka za fedha.

Ezekieli 22 : 20
20 Kama vile watu wakusanyavyo fedha, na shaba, na chuma, na risasi, na bati, katika tanuri, ili kuvifukutia moto na kuviyeyusha; ndivyo nitakavyowakusanya ninyi katika hasira yangu, na ghadhabu yangu, nami nitawalaza huko, na kuwayeyusha.

Ezekieli 27 : 12
12 Tarshishi alikuwa mfanya biashara kwako, kwa sababu ya wingi wa utajiri wa kila aina; kwa fedha, na chuma, na bati, na risasi, walifanya biashara, wapate vitu vyako vilivyouzwa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *