Biblia inasema nini kuhusu Baraza – Mistari yote ya Biblia kuhusu Baraza

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Baraza

Matendo 15 : 29
29 yaani, mjiepushe na vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, na nyama zilizosongolewa, na uasherati. Mkijizuia na hayo, mtafanya vema. Wasalamu.

2 Samweli 16 : 20
20 Kisha Absalomu akamwambia Ahithofeli, Haya, toa ushauri wako, tufanyeje.

2 Samweli 17 : 15
15 Ndipo Hushai akawaambia Sadoki na Abiathari, makuhani, Ahithofeli amempa Absalomu na wazee wa Israeli mashauri kadha wa kadha; na mimi nimetoa mashauri kadha wa kadha.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *